id string | story_id string | context string | question string | answer string | paragraph_id string |
|---|---|---|---|---|---|
3297_swa_5 | 3297_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA NCHI YA KENYA Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya. Kilimo kina manufaa ainati. Kilimo kinaweza kuimarisha nchi yetu kupitia kwa mauzo ya mazao ya kilimo. Mazao kama vile majani chai na kahawa yanauzwa katika nchi za ng'ambo na hivyo kuwezesha kuleta pesa nchini. Kwa k... | Ni nini uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya | Kilimo | x |
3297_swa_6 | 3297_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA NCHI YA KENYA Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya. Kilimo kina manufaa ainati. Kilimo kinaweza kuimarisha nchi yetu kupitia kwa mauzo ya mazao ya kilimo. Mazao kama vile majani chai na kahawa yanauzwa katika nchi za ng'ambo na hivyo kuwezesha kuleta pesa nchini. Kwa k... | Kilimo huimarisha uchumi kwa kubuni nafasi za nini | Kazi | x |
3297_swa_7 | 3297_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA NCHI YA KENYA Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya. Kilimo kina manufaa ainati. Kilimo kinaweza kuimarisha nchi yetu kupitia kwa mauzo ya mazao ya kilimo. Mazao kama vile majani chai na kahawa yanauzwa katika nchi za ng'ambo na hivyo kuwezesha kuleta pesa nchini. Kwa k... | Kilimo huweza kupigana na janhga la nini nchini | Njaa | x |
3297_swa_8 | 3297_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA NCHI YA KENYA Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya. Kilimo kina manufaa ainati. Kilimo kinaweza kuimarisha nchi yetu kupitia kwa mauzo ya mazao ya kilimo. Mazao kama vile majani chai na kahawa yanauzwa katika nchi za ng'ambo na hivyo kuwezesha kuleta pesa nchini. Kwa k... | Kilimo kimeweza kuwaleta nani pamoja | Watu | x |
3297_swa_9 | 3297_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA NCHI YA KENYA Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya. Kilimo kina manufaa ainati. Kilimo kinaweza kuimarisha nchi yetu kupitia kwa mauzo ya mazao ya kilimo. Mazao kama vile majani chai na kahawa yanauzwa katika nchi za ng'ambo na hivyo kuwezesha kuleta pesa nchini. Kwa k... | Ujenzi wa viwanda mashinani umesaidia na nini | Watu wanaacha kuhamia mijini | x |
3316_swa_0 | 3316_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA KATI WAKIJADILIANA KUHUSU MAGONJWA TOFAUTI TOFAUTI (Daktari Kiho na mgonjwa Rukia wako ofisini kwa daktari, wamekaa wakiangaliana na mezani pale kuna kompyuta na vifaa vya kupimia wagonjwa. Wanajadiliana kuhusu magonjwa tofauti tofauti.) Rukia: (Anaingia tar... | Rukia anaumwa na wapi | Kichwa | x |
3316_swa_1 | 3316_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA KATI WAKIJADILIANA KUHUSU MAGONJWA TOFAUTI TOFAUTI (Daktari Kiho na mgonjwa Rukia wako ofisini kwa daktari, wamekaa wakiangaliana na mezani pale kuna kompyuta na vifaa vya kupimia wagonjwa. Wanajadiliana kuhusu magonjwa tofauti tofauti.) Rukia: (Anaingia tar... | Daktari anachukua nini mezani | Kifaa | x |
3316_swa_2 | 3316_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA KATI WAKIJADILIANA KUHUSU MAGONJWA TOFAUTI TOFAUTI (Daktari Kiho na mgonjwa Rukia wako ofisini kwa daktari, wamekaa wakiangaliana na mezani pale kuna kompyuta na vifaa vya kupimia wagonjwa. Wanajadiliana kuhusu magonjwa tofauti tofauti.) Rukia: (Anaingia tar... | Daktari anamdunga nini Rukia | Sindano | x |
3316_swa_3 | 3316_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA KATI WAKIJADILIANA KUHUSU MAGONJWA TOFAUTI TOFAUTI (Daktari Kiho na mgonjwa Rukia wako ofisini kwa daktari, wamekaa wakiangaliana na mezani pale kuna kompyuta na vifaa vya kupimia wagonjwa. Wanajadiliana kuhusu magonjwa tofauti tofauti.) Rukia: (Anaingia tar... | Rukia anafaa kulala ndani ya nini | Neti | x |
3316_swa_4 | 3316_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA KATI WAKIJADILIANA KUHUSU MAGONJWA TOFAUTI TOFAUTI (Daktari Kiho na mgonjwa Rukia wako ofisini kwa daktari, wamekaa wakiangaliana na mezani pale kuna kompyuta na vifaa vya kupimia wagonjwa. Wanajadiliana kuhusu magonjwa tofauti tofauti.) Rukia: (Anaingia tar... | Kwa nini daktari anamwambia malize dawa zile | Ili aweze kupona | x |
3316_swa_5 | 3316_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA KATI WAKIJADILIANA KUHUSU MAGONJWA TOFAUTI TOFAUTI (Daktari Kiho na mgonjwa Rukia wako ofisini kwa daktari, wamekaa wakiangaliana na mezani pale kuna kompyuta na vifaa vya kupimia wagonjwa. Wanajadiliana kuhusu magonjwa tofauti tofauti.) Rukia: (Anaingia tar... | Mgonjwa anaitwa nani | Rukia Mbone | x |
3316_swa_6 | 3316_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA KATI WAKIJADILIANA KUHUSU MAGONJWA TOFAUTI TOFAUTI (Daktari Kiho na mgonjwa Rukia wako ofisini kwa daktari, wamekaa wakiangaliana na mezani pale kuna kompyuta na vifaa vya kupimia wagonjwa. Wanajadiliana kuhusu magonjwa tofauti tofauti.) Rukia: (Anaingia tar... | Rukia anaumwa na wapi | Kichwa | x |
3316_swa_7 | 3316_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA KATI WAKIJADILIANA KUHUSU MAGONJWA TOFAUTI TOFAUTI (Daktari Kiho na mgonjwa Rukia wako ofisini kwa daktari, wamekaa wakiangaliana na mezani pale kuna kompyuta na vifaa vya kupimia wagonjwa. Wanajadiliana kuhusu magonjwa tofauti tofauti.) Rukia: (Anaingia tar... | Daktari atamchukua Rukia nini | Vipimo | x |
3316_swa_8 | 3316_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA KATI WAKIJADILIANA KUHUSU MAGONJWA TOFAUTI TOFAUTI (Daktari Kiho na mgonjwa Rukia wako ofisini kwa daktari, wamekaa wakiangaliana na mezani pale kuna kompyuta na vifaa vya kupimia wagonjwa. Wanajadiliana kuhusu magonjwa tofauti tofauti.) Rukia: (Anaingia tar... | Rukia anaugua ugonjwa upi | Malaria | x |
3316_swa_9 | 3316_swa | MAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWA KATIKA HOSPITALI YA KATI WAKIJADILIANA KUHUSU MAGONJWA TOFAUTI TOFAUTI (Daktari Kiho na mgonjwa Rukia wako ofisini kwa daktari, wamekaa wakiangaliana na mezani pale kuna kompyuta na vifaa vya kupimia wagonjwa. Wanajadiliana kuhusu magonjwa tofauti tofauti.) Rukia: (Anaingia tar... | Kwa nini Rukia amepata Malaria | Hajakuwa akilala ndani ya neti | x |
3322_swa_0 | 3322_swa | UMUHIMU WA KILIMO KATIKA NCHI YA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea tofauti tofauti na ufugaji wa mifugo. Mbinu hii inatumika sehemu nyingi nchini Kenya. Kilimo imeleta manufaa mengi katika nchi ya Kenya. Yafuatayo ni manutaa ya kilimo katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini Kenya. Hii ni k... | Kilimo kimeleta manufaa mengi katika nchi gani | Kenya | x |
3322_swa_1 | 3322_swa | UMUHIMU WA KILIMO KATIKA NCHI YA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea tofauti tofauti na ufugaji wa mifugo. Mbinu hii inatumika sehemu nyingi nchini Kenya. Kilimo imeleta manufaa mengi katika nchi ya Kenya. Yafuatayo ni manutaa ya kilimo katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini Kenya. Hii ni k... | Kilimo kimeongeza nini | Chakula | x |
3322_swa_2 | 3322_swa | UMUHIMU WA KILIMO KATIKA NCHI YA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea tofauti tofauti na ufugaji wa mifugo. Mbinu hii inatumika sehemu nyingi nchini Kenya. Kilimo imeleta manufaa mengi katika nchi ya Kenya. Yafuatayo ni manutaa ya kilimo katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini Kenya. Hii ni k... | Kilimo inasaidia wananchi kupata nini ya kuimarisha maisha | Kazi | x |
3322_swa_3 | 3322_swa | UMUHIMU WA KILIMO KATIKA NCHI YA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea tofauti tofauti na ufugaji wa mifugo. Mbinu hii inatumika sehemu nyingi nchini Kenya. Kilimo imeleta manufaa mengi katika nchi ya Kenya. Yafuatayo ni manutaa ya kilimo katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini Kenya. Hii ni k... | Kilimo imesaidia kupata pesa zipi | Za kigeni | x |
3322_swa_4 | 3322_swa | UMUHIMU WA KILIMO KATIKA NCHI YA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea tofauti tofauti na ufugaji wa mifugo. Mbinu hii inatumika sehemu nyingi nchini Kenya. Kilimo imeleta manufaa mengi katika nchi ya Kenya. Yafuatayo ni manutaa ya kilimo katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini Kenya. Hii ni k... | Mchango wa serikali ni upi katika kilimo | Kuwaelimisha wananchi umuhimu wa kilimo | x |
3322_swa_5 | 3322_swa | UMUHIMU WA KILIMO KATIKA NCHI YA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea tofauti tofauti na ufugaji wa mifugo. Mbinu hii inatumika sehemu nyingi nchini Kenya. Kilimo imeleta manufaa mengi katika nchi ya Kenya. Yafuatayo ni manutaa ya kilimo katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini Kenya. Hii ni k... | Ni nini upandaji wa mimea tofauti | Kilimo | x |
3322_swa_6 | 3322_swa | UMUHIMU WA KILIMO KATIKA NCHI YA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea tofauti tofauti na ufugaji wa mifugo. Mbinu hii inatumika sehemu nyingi nchini Kenya. Kilimo imeleta manufaa mengi katika nchi ya Kenya. Yafuatayo ni manutaa ya kilimo katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini Kenya. Hii ni k... | Kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini wapi | Kenya | x |
3322_swa_7 | 3322_swa | UMUHIMU WA KILIMO KATIKA NCHI YA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea tofauti tofauti na ufugaji wa mifugo. Mbinu hii inatumika sehemu nyingi nchini Kenya. Kilimo imeleta manufaa mengi katika nchi ya Kenya. Yafuatayo ni manutaa ya kilimo katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini Kenya. Hii ni k... | Kilimo inawasaidia wananchi kupata nini | Kazi | x |
3322_swa_8 | 3322_swa | UMUHIMU WA KILIMO KATIKA NCHI YA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea tofauti tofauti na ufugaji wa mifugo. Mbinu hii inatumika sehemu nyingi nchini Kenya. Kilimo imeleta manufaa mengi katika nchi ya Kenya. Yafuatayo ni manutaa ya kilimo katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini Kenya. Hii ni k... | Kilimo imesaidia Serikali kupata nini | Pesa | x |
3322_swa_9 | 3322_swa | UMUHIMU WA KILIMO KATIKA NCHI YA KENYA Kilimo ni upanzi wa mimea tofauti tofauti na ufugaji wa mifugo. Mbinu hii inatumika sehemu nyingi nchini Kenya. Kilimo imeleta manufaa mengi katika nchi ya Kenya. Yafuatayo ni manutaa ya kilimo katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo kimeongeza idadi ya chakula nchini Kenya. Hii ni k... | Ni vipi kilimo hupunguza umaskini | Kwa vile watu wanapata vyakula | x |
3323_swa_0 | 3323_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ndiyo njia kuu ya kuimarisha uchumi katika nchi ya Kenya. Karibu asilimia 80 ya wakenya huchangia katika kilimo kama kazi yao ya kila siku na hata pia huuzwa ili kupata pesa za kutumia kwa vitu mbalimbali. Kilimo huimarisha uchumi wa Kenya kwa njia zifuataz... | Ni nini njia kuu ya kuimarisha uchumi | Kilimo | x |
3323_swa_1 | 3323_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ndiyo njia kuu ya kuimarisha uchumi katika nchi ya Kenya. Karibu asilimia 80 ya wakenya huchangia katika kilimo kama kazi yao ya kila siku na hata pia huuzwa ili kupata pesa za kutumia kwa vitu mbalimbali. Kilimo huimarisha uchumi wa Kenya kwa njia zifuataz... | Asilimia gani huchangia katika elimu | 80% | x |
3323_swa_2 | 3323_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ndiyo njia kuu ya kuimarisha uchumi katika nchi ya Kenya. Karibu asilimia 80 ya wakenya huchangia katika kilimo kama kazi yao ya kila siku na hata pia huuzwa ili kupata pesa za kutumia kwa vitu mbalimbali. Kilimo huimarisha uchumi wa Kenya kwa njia zifuataz... | Kilimo cha nini huchangia mlo | Mahindi | x |
3323_swa_3 | 3323_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ndiyo njia kuu ya kuimarisha uchumi katika nchi ya Kenya. Karibu asilimia 80 ya wakenya huchangia katika kilimo kama kazi yao ya kila siku na hata pia huuzwa ili kupata pesa za kutumia kwa vitu mbalimbali. Kilimo huimarisha uchumi wa Kenya kwa njia zifuataz... | Kilimo cha uvuvi husaidia kuimarisha nini | Uchumi | x |
3323_swa_4 | 3323_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ndiyo njia kuu ya kuimarisha uchumi katika nchi ya Kenya. Karibu asilimia 80 ya wakenya huchangia katika kilimo kama kazi yao ya kila siku na hata pia huuzwa ili kupata pesa za kutumia kwa vitu mbalimbali. Kilimo huimarisha uchumi wa Kenya kwa njia zifuataz... | Ni nini jukumu la mkenya | Kutoa umaskini na kutushidia shida | x |
3323_swa_5 | 3323_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ndiyo njia kuu ya kuimarisha uchumi katika nchi ya Kenya. Karibu asilimia 80 ya wakenya huchangia katika kilimo kama kazi yao ya kila siku na hata pia huuzwa ili kupata pesa za kutumia kwa vitu mbalimbali. Kilimo huimarisha uchumi wa Kenya kwa njia zifuataz... | Kilimo ni njia kuu ya kuimarisha nini | Uchumi | x |
3323_swa_6 | 3323_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ndiyo njia kuu ya kuimarisha uchumi katika nchi ya Kenya. Karibu asilimia 80 ya wakenya huchangia katika kilimo kama kazi yao ya kila siku na hata pia huuzwa ili kupata pesa za kutumia kwa vitu mbalimbali. Kilimo huimarisha uchumi wa Kenya kwa njia zifuataz... | Kilimo cha mahindi husaidia watu kupata nini | Mlo | x |
3323_swa_7 | 3323_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ndiyo njia kuu ya kuimarisha uchumi katika nchi ya Kenya. Karibu asilimia 80 ya wakenya huchangia katika kilimo kama kazi yao ya kila siku na hata pia huuzwa ili kupata pesa za kutumia kwa vitu mbalimbali. Kilimo huimarisha uchumi wa Kenya kwa njia zifuataz... | Kilimo cha samaki husaidia kuimarisha uchumi wa nini | Kenya | x |
3323_swa_8 | 3323_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ndiyo njia kuu ya kuimarisha uchumi katika nchi ya Kenya. Karibu asilimia 80 ya wakenya huchangia katika kilimo kama kazi yao ya kila siku na hata pia huuzwa ili kupata pesa za kutumia kwa vitu mbalimbali. Kilimo huimarisha uchumi wa Kenya kwa njia zifuataz... | Ni nini husaidia kupata nyama na maziwa | Mifugo | x |
3323_swa_9 | 3323_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ndiyo njia kuu ya kuimarisha uchumi katika nchi ya Kenya. Karibu asilimia 80 ya wakenya huchangia katika kilimo kama kazi yao ya kila siku na hata pia huuzwa ili kupata pesa za kutumia kwa vitu mbalimbali. Kilimo huimarisha uchumi wa Kenya kwa njia zifuataz... | Ni kwa vipi kilimo huwa na manufaa mengi | Kwa kuchangia kumaliza umaskini | x |
3617_swa_0 | 3617_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Humu nchini, kilimo kínatekelezwa na kila mja ila kwa kiwango cha juu zaidi na wakulima. Wakulima wa taifa la Kenya wamejitolea kwa hamu na ghamu kuwajibika katika upanzi wa mimea tofauti. Mimea hii ikipandwa, in... | Ni nini kazi ya kulima na kupanda mazao | Kilimo | x |
3617_swa_1 | 3617_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Humu nchini, kilimo kínatekelezwa na kila mja ila kwa kiwango cha juu zaidi na wakulima. Wakulima wa taifa la Kenya wamejitolea kwa hamu na ghamu kuwajibika katika upanzi wa mimea tofauti. Mimea hii ikipandwa, in... | Mojawapo ya mazao yanayotokana na kilimo ni nini | Chakula | x |
3617_swa_2 | 3617_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Humu nchini, kilimo kínatekelezwa na kila mja ila kwa kiwango cha juu zaidi na wakulima. Wakulima wa taifa la Kenya wamejitolea kwa hamu na ghamu kuwajibika katika upanzi wa mimea tofauti. Mimea hii ikipandwa, in... | Ni nini wameweza kufugwa nchini | Wanyama | x |
3617_swa_3 | 3617_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Humu nchini, kilimo kínatekelezwa na kila mja ila kwa kiwango cha juu zaidi na wakulima. Wakulima wa taifa la Kenya wamejitolea kwa hamu na ghamu kuwajibika katika upanzi wa mimea tofauti. Mimea hii ikipandwa, in... | Wanyama hutupa nini | Mbolea | x |
3617_swa_4 | 3617_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Humu nchini, kilimo kínatekelezwa na kila mja ila kwa kiwango cha juu zaidi na wakulima. Wakulima wa taifa la Kenya wamejitolea kwa hamu na ghamu kuwajibika katika upanzi wa mimea tofauti. Mimea hii ikipandwa, in... | Ni vipi wakulima watapewa motisha | Kuwalipa vizuri katika kazi ya kilimo | x |
3617_swa_5 | 3617_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Humu nchini, kilimo kínatekelezwa na kila mja ila kwa kiwango cha juu zaidi na wakulima. Wakulima wa taifa la Kenya wamejitolea kwa hamu na ghamu kuwajibika katika upanzi wa mimea tofauti. Mimea hii ikipandwa, in... | Ni nini kazi ya kupanda mazao shambani | Kilimo | x |
3617_swa_6 | 3617_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Humu nchini, kilimo kínatekelezwa na kila mja ila kwa kiwango cha juu zaidi na wakulima. Wakulima wa taifa la Kenya wamejitolea kwa hamu na ghamu kuwajibika katika upanzi wa mimea tofauti. Mimea hii ikipandwa, in... | Chakula hutokana na nini | Kilimo | x |
3617_swa_7 | 3617_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Humu nchini, kilimo kínatekelezwa na kila mja ila kwa kiwango cha juu zaidi na wakulima. Wakulima wa taifa la Kenya wamejitolea kwa hamu na ghamu kuwajibika katika upanzi wa mimea tofauti. Mimea hii ikipandwa, in... | Mazao mengine hutumika kama nini | Dawa | x |
3617_swa_8 | 3617_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Humu nchini, kilimo kínatekelezwa na kila mja ila kwa kiwango cha juu zaidi na wakulima. Wakulima wa taifa la Kenya wamejitolea kwa hamu na ghamu kuwajibika katika upanzi wa mimea tofauti. Mimea hii ikipandwa, in... | Mazao yanaweza kusafirishwa wapi | Ughaibuni | x |
3617_swa_9 | 3617_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Humu nchini, kilimo kínatekelezwa na kila mja ila kwa kiwango cha juu zaidi na wakulima. Wakulima wa taifa la Kenya wamejitolea kwa hamu na ghamu kuwajibika katika upanzi wa mimea tofauti. Mimea hii ikipandwa, in... | Serikali inachangia vipi katika kilimo | Serikali inawapa wakulima ushauri | x |
3620_swa_0 | 3620_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII AU NCHI Ikhlas! Ama kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea walipolonga kuwa umoja ni nguva na utengano ni udhaifu. Kwa kweli, kidole kimoja hakiwezi kuuwa chawa. Ili kufaulu katika maisha, twahitai utengamano. Maisha ni kama mushumaa unaowaka na kisha kuisha. Mbona tukuze ... | Umoja ni nguvu utengano ni? | Udhaifu | x |
3620_swa_1 | 3620_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII AU NCHI Ikhlas! Ama kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea walipolonga kuwa umoja ni nguva na utengano ni udhaifu. Kwa kweli, kidole kimoja hakiwezi kuuwa chawa. Ili kufaulu katika maisha, twahitai utengamano. Maisha ni kama mushumaa unaowaka na kisha kuisha. Mbona tukuze ... | Katika siasa za migawanyiko ni nadra sana kukoseka nini? | Vita | x |
3620_swa_2 | 3620_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII AU NCHI Ikhlas! Ama kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea walipolonga kuwa umoja ni nguva na utengano ni udhaifu. Kwa kweli, kidole kimoja hakiwezi kuuwa chawa. Ili kufaulu katika maisha, twahitai utengamano. Maisha ni kama mushumaa unaowaka na kisha kuisha. Mbona tukuze ... | Siasa nzuri huboresha nini? | Uchumi | x |
3620_swa_3 | 3620_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII AU NCHI Ikhlas! Ama kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea walipolonga kuwa umoja ni nguva na utengano ni udhaifu. Kwa kweli, kidole kimoja hakiwezi kuuwa chawa. Ili kufaulu katika maisha, twahitai utengamano. Maisha ni kama mushumaa unaowaka na kisha kuisha. Mbona tukuze ... | Vita hueneza nini? | Chuki | x |
3620_swa_4 | 3620_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII AU NCHI Ikhlas! Ama kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea walipolonga kuwa umoja ni nguva na utengano ni udhaifu. Kwa kweli, kidole kimoja hakiwezi kuuwa chawa. Ili kufaulu katika maisha, twahitai utengamano. Maisha ni kama mushumaa unaowaka na kisha kuisha. Mbona tukuze ... | Kidole kimoja hakivunji nini? | Chawa | x |
3620_swa_5 | 3620_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII AU NCHI Ikhlas! Ama kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea walipolonga kuwa umoja ni nguva na utengano ni udhaifu. Kwa kweli, kidole kimoja hakiwezi kuuwa chawa. Ili kufaulu katika maisha, twahitai utengamano. Maisha ni kama mushumaa unaowaka na kisha kuisha. Mbona tukuze ... | Umoja ni nguvu na utengano ni nini? | Udhaifu | x |
3620_swa_6 | 3620_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII AU NCHI Ikhlas! Ama kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea walipolonga kuwa umoja ni nguva na utengano ni udhaifu. Kwa kweli, kidole kimoja hakiwezi kuuwa chawa. Ili kufaulu katika maisha, twahitai utengamano. Maisha ni kama mushumaa unaowaka na kisha kuisha. Mbona tukuze ... | Kidole kimoja hakiwezi kuvunja nani? | Chawa | x |
3620_swa_7 | 3620_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII AU NCHI Ikhlas! Ama kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea walipolonga kuwa umoja ni nguva na utengano ni udhaifu. Kwa kweli, kidole kimoja hakiwezi kuuwa chawa. Ili kufaulu katika maisha, twahitai utengamano. Maisha ni kama mushumaa unaowaka na kisha kuisha. Mbona tukuze ... | Undungu si kufanana bali ni? | Kufaana | x |
3620_swa_8 | 3620_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII AU NCHI Ikhlas! Ama kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea walipolonga kuwa umoja ni nguva na utengano ni udhaifu. Kwa kweli, kidole kimoja hakiwezi kuuwa chawa. Ili kufaulu katika maisha, twahitai utengamano. Maisha ni kama mushumaa unaowaka na kisha kuisha. Mbona tukuze ... | Katika siasa za mgawanyiko, ni nadra kukose nini? | Vita | x |
3620_swa_9 | 3620_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA JAMII AU NCHI Ikhlas! Ama kweli, wahenga na wahenguzi hawakukosea walipolonga kuwa umoja ni nguva na utengano ni udhaifu. Kwa kweli, kidole kimoja hakiwezi kuuwa chawa. Ili kufaulu katika maisha, twahitai utengamano. Maisha ni kama mushumaa unaowaka na kisha kuisha. Mbona tukuze ... | Nani wanaendeleza siasa za mgawanyiko? | Viongozi | x |
3625_swa_0 | 3625_swa | MADHARA YA UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA Vijana wengi wamejihusisha siku hizi na uhusiano wa kimapenzi ambacho ni chanzo cha uozo katika jamii. Vijana wengi wanahusisha na vitendo hivi kutokana na shinikizo la marafiki wenzao wengine na kutokana na ulezi mbaya. Uhusiano huu huleta madhara mengi ambayo huath... | Vijana wamejihusisha na uhusiano wa nini | Kimapenzi | x |
3625_swa_1 | 3625_swa | MADHARA YA UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA Vijana wengi wamejihusisha siku hizi na uhusiano wa kimapenzi ambacho ni chanzo cha uozo katika jamii. Vijana wengi wanahusisha na vitendo hivi kutokana na shinikizo la marafiki wenzao wengine na kutokana na ulezi mbaya. Uhusiano huu huleta madhara mengi ambayo huath... | Ni nini hutokana na uhusiano wa kimapenzi | vifo | x |
3625_swa_2 | 3625_swa | MADHARA YA UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA Vijana wengi wamejihusisha siku hizi na uhusiano wa kimapenzi ambacho ni chanzo cha uozo katika jamii. Vijana wengi wanahusisha na vitendo hivi kutokana na shinikizo la marafiki wenzao wengine na kutokana na ulezi mbaya. Uhusiano huu huleta madhara mengi ambayo huath... | Uhusiano wa kimapenzi umeleta matumizi ya dawa zipi | Kulevya | x |
3625_swa_3 | 3625_swa | MADHARA YA UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA Vijana wengi wamejihusisha siku hizi na uhusiano wa kimapenzi ambacho ni chanzo cha uozo katika jamii. Vijana wengi wanahusisha na vitendo hivi kutokana na shinikizo la marafiki wenzao wengine na kutokana na ulezi mbaya. Uhusiano huu huleta madhara mengi ambayo huath... | Vijana wanafaa kuwa na marafiki aina gani | Wema | x |
3625_swa_4 | 3625_swa | MADHARA YA UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA Vijana wengi wamejihusisha siku hizi na uhusiano wa kimapenzi ambacho ni chanzo cha uozo katika jamii. Vijana wengi wanahusisha na vitendo hivi kutokana na shinikizo la marafiki wenzao wengine na kutokana na ulezi mbaya. Uhusiano huu huleta madhara mengi ambayo huath... | Ni nini husababisha uja uzito kwa vijana | Uhusiano wa kimapenzi miongoni mwa vijana | x |
3625_swa_5 | 3625_swa | MADHARA YA UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA Vijana wengi wamejihusisha siku hizi na uhusiano wa kimapenzi ambacho ni chanzo cha uozo katika jamii. Vijana wengi wanahusisha na vitendo hivi kutokana na shinikizo la marafiki wenzao wengine na kutokana na ulezi mbaya. Uhusiano huu huleta madhara mengi ambayo huath... | Nani wanajihusisha na mapenzi | vijana | x |
3625_swa_6 | 3625_swa | MADHARA YA UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA Vijana wengi wamejihusisha siku hizi na uhusiano wa kimapenzi ambacho ni chanzo cha uozo katika jamii. Vijana wengi wanahusisha na vitendo hivi kutokana na shinikizo la marafiki wenzao wengine na kutokana na ulezi mbaya. Uhusiano huu huleta madhara mengi ambayo huath... | Mimba za mapema zinawapata vijana walioko wapi | Shuleni | x |
3625_swa_7 | 3625_swa | MADHARA YA UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA Vijana wengi wamejihusisha siku hizi na uhusiano wa kimapenzi ambacho ni chanzo cha uozo katika jamii. Vijana wengi wanahusisha na vitendo hivi kutokana na shinikizo la marafiki wenzao wengine na kutokana na ulezi mbaya. Uhusiano huu huleta madhara mengi ambayo huath... | Vijana wanajihusha na mapenzi kwa sababu ya ushauri mgani | mbaya | x |
3625_swa_8 | 3625_swa | MADHARA YA UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA Vijana wengi wamejihusisha siku hizi na uhusiano wa kimapenzi ambacho ni chanzo cha uozo katika jamii. Vijana wengi wanahusisha na vitendo hivi kutokana na shinikizo la marafiki wenzao wengine na kutokana na ulezi mbaya. Uhusiano huu huleta madhara mengi ambayo huath... | Vifo vya mapema hutokana na uhusiano wa nini | Kimapenzi | x |
3625_swa_9 | 3625_swa | MADHARA YA UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA Vijana wengi wamejihusisha siku hizi na uhusiano wa kimapenzi ambacho ni chanzo cha uozo katika jamii. Vijana wengi wanahusisha na vitendo hivi kutokana na shinikizo la marafiki wenzao wengine na kutokana na ulezi mbaya. Uhusiano huu huleta madhara mengi ambayo huath... | Kwa nini ugonjwa wa ukimwi unaenea | Kutokana na uhusiano wa kimapenzi wa mapema | x |
3629_swa_0 | 3629_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIANDAA KWA MTIHANI WA KITAIFA Mkuu wa elimu wilayani, mwalimu mkuu, wakuu wa idara, walimu, mkuu wa wanafunzi na wanafunzi wenzangu, hamjambo. Nachukua fursa hii adimu kuwakaribisha katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumeungojea kwa hamu na ghamu. Azma kuu ya mkutano huu, kama mnavyojua, ni ... | Anataka kutoa nini | Hotuba | x |
3629_swa_1 | 3629_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIANDAA KWA MTIHANI WA KITAIFA Mkuu wa elimu wilayani, mwalimu mkuu, wakuu wa idara, walimu, mkuu wa wanafunzi na wanafunzi wenzangu, hamjambo. Nachukua fursa hii adimu kuwakaribisha katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumeungojea kwa hamu na ghamu. Azma kuu ya mkutano huu, kama mnavyojua, ni ... | Mtihani wa kitaifa ni nini | Daraja | x |
3629_swa_2 | 3629_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIANDAA KWA MTIHANI WA KITAIFA Mkuu wa elimu wilayani, mwalimu mkuu, wakuu wa idara, walimu, mkuu wa wanafunzi na wanafunzi wenzangu, hamjambo. Nachukua fursa hii adimu kuwakaribisha katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumeungojea kwa hamu na ghamu. Azma kuu ya mkutano huu, kama mnavyojua, ni ... | Ni lazima ujitolee nini ili kufaulu | mhanga | x |
3629_swa_3 | 3629_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIANDAA KWA MTIHANI WA KITAIFA Mkuu wa elimu wilayani, mwalimu mkuu, wakuu wa idara, walimu, mkuu wa wanafunzi na wanafunzi wenzangu, hamjambo. Nachukua fursa hii adimu kuwakaribisha katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumeungojea kwa hamu na ghamu. Azma kuu ya mkutano huu, kama mnavyojua, ni ... | Mwanafunzi ahudhurie masomo ya nini | Maktaba | x |
3629_swa_4 | 3629_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIANDAA KWA MTIHANI WA KITAIFA Mkuu wa elimu wilayani, mwalimu mkuu, wakuu wa idara, walimu, mkuu wa wanafunzi na wanafunzi wenzangu, hamjambo. Nachukua fursa hii adimu kuwakaribisha katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumeungojea kwa hamu na ghamu. Azma kuu ya mkutano huu, kama mnavyojua, ni ... | Kwa nini mwanafunzi anahitaji wakati wa kupumzika | Ili kutuliza akili wakati imechoka | x |
3629_swa_5 | 3629_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIANDAA KWA MTIHANI WA KITAIFA Mkuu wa elimu wilayani, mwalimu mkuu, wakuu wa idara, walimu, mkuu wa wanafunzi na wanafunzi wenzangu, hamjambo. Nachukua fursa hii adimu kuwakaribisha katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumeungojea kwa hamu na ghamu. Azma kuu ya mkutano huu, kama mnavyojua, ni ... | Azma ya hotuba ni jinsi ya kujiandaa kwa mitihani ipi | Kitaifa | x |
3629_swa_6 | 3629_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIANDAA KWA MTIHANI WA KITAIFA Mkuu wa elimu wilayani, mwalimu mkuu, wakuu wa idara, walimu, mkuu wa wanafunzi na wanafunzi wenzangu, hamjambo. Nachukua fursa hii adimu kuwakaribisha katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumeungojea kwa hamu na ghamu. Azma kuu ya mkutano huu, kama mnavyojua, ni ... | Mwanafunzi hudurusu ni aliyokuwa amesahau hapo awali | Masomo | x |
3629_swa_7 | 3629_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIANDAA KWA MTIHANI WA KITAIFA Mkuu wa elimu wilayani, mwalimu mkuu, wakuu wa idara, walimu, mkuu wa wanafunzi na wanafunzi wenzangu, hamjambo. Nachukua fursa hii adimu kuwakaribisha katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumeungojea kwa hamu na ghamu. Azma kuu ya mkutano huu, kama mnavyojua, ni ... | Ukitaka kufaulu ni lazima ujitolee nini | mhanga | x |
3629_swa_8 | 3629_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIANDAA KWA MTIHANI WA KITAIFA Mkuu wa elimu wilayani, mwalimu mkuu, wakuu wa idara, walimu, mkuu wa wanafunzi na wanafunzi wenzangu, hamjambo. Nachukua fursa hii adimu kuwakaribisha katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumeungojea kwa hamu na ghamu. Azma kuu ya mkutano huu, kama mnavyojua, ni ... | Ukitaka kufaulu unawatafuta nani | Walimu | x |
3629_swa_9 | 3629_swa | HOTUBA KUHUSU JINSI YA KUJIANDAA KWA MTIHANI WA KITAIFA Mkuu wa elimu wilayani, mwalimu mkuu, wakuu wa idara, walimu, mkuu wa wanafunzi na wanafunzi wenzangu, hamjambo. Nachukua fursa hii adimu kuwakaribisha katika mkutano huu wa leo tuliokuwa tumeungojea kwa hamu na ghamu. Azma kuu ya mkutano huu, kama mnavyojua, ni ... | Nidhani husaidia vipi kufaulu masomoni | Kwa kuzingatia ratiba ya shule | x |
3650_swa_0 | 3650_swa | MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI. Maana ya nje ya methali hii ni tezi Sehemu ya mbele ya jahazi, omo ni sehemu ya katikati wanapoketi abiria. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu wenye tabia ya kujiona wao ni tofauti na wenzao Mwishowe watu hao huaibika na kurudia mahali pao katika jamii.Methali yenye maana sawa na h... | Ghulamu anaitwa nani | Kauleni | x |
3650_swa_1 | 3650_swa | MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI. Maana ya nje ya methali hii ni tezi Sehemu ya mbele ya jahazi, omo ni sehemu ya katikati wanapoketi abiria. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu wenye tabia ya kujiona wao ni tofauti na wenzao Mwishowe watu hao huaibika na kurudia mahali pao katika jamii.Methali yenye maana sawa na h... | Kauleni aliishi katika kitongoji kipi | Magomeni | x |
3650_swa_2 | 3650_swa | MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI. Maana ya nje ya methali hii ni tezi Sehemu ya mbele ya jahazi, omo ni sehemu ya katikati wanapoketi abiria. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu wenye tabia ya kujiona wao ni tofauti na wenzao Mwishowe watu hao huaibika na kurudia mahali pao katika jamii.Methali yenye maana sawa na h... | Kauleni alijiunga na shule ipi | Busuamka | x |
3650_swa_3 | 3650_swa | MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI. Maana ya nje ya methali hii ni tezi Sehemu ya mbele ya jahazi, omo ni sehemu ya katikati wanapoketi abiria. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu wenye tabia ya kujiona wao ni tofauti na wenzao Mwishowe watu hao huaibika na kurudia mahali pao katika jamii.Methali yenye maana sawa na h... | Kauleni aliazimia kuwa nini | Daktari | x |
3650_swa_4 | 3650_swa | MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI. Maana ya nje ya methali hii ni tezi Sehemu ya mbele ya jahazi, omo ni sehemu ya katikati wanapoketi abiria. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu wenye tabia ya kujiona wao ni tofauti na wenzao Mwishowe watu hao huaibika na kurudia mahali pao katika jamii.Methali yenye maana sawa na h... | mbona machozi ya simanzi yalimtoka Kauleni | Alimpoteza mamake | x |
3650_swa_5 | 3650_swa | MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI. Maana ya nje ya methali hii ni tezi Sehemu ya mbele ya jahazi, omo ni sehemu ya katikati wanapoketi abiria. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu wenye tabia ya kujiona wao ni tofauti na wenzao Mwishowe watu hao huaibika na kurudia mahali pao katika jamii.Methali yenye maana sawa na h... | Hapo zamani palikuwa na jamaa aliyeitwa nani | Kauleni | x |
3650_swa_6 | 3650_swa | MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI. Maana ya nje ya methali hii ni tezi Sehemu ya mbele ya jahazi, omo ni sehemu ya katikati wanapoketi abiria. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu wenye tabia ya kujiona wao ni tofauti na wenzao Mwishowe watu hao huaibika na kurudia mahali pao katika jamii.Methali yenye maana sawa na h... | Kauleni alijiunga na shule gani | Busuamka | x |
3650_swa_7 | 3650_swa | MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI. Maana ya nje ya methali hii ni tezi Sehemu ya mbele ya jahazi, omo ni sehemu ya katikati wanapoketi abiria. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu wenye tabia ya kujiona wao ni tofauti na wenzao Mwishowe watu hao huaibika na kurudia mahali pao katika jamii.Methali yenye maana sawa na h... | Kauleni alisomea nini chuoni | udaktari | x |
3650_swa_8 | 3650_swa | MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI. Maana ya nje ya methali hii ni tezi Sehemu ya mbele ya jahazi, omo ni sehemu ya katikati wanapoketi abiria. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu wenye tabia ya kujiona wao ni tofauti na wenzao Mwishowe watu hao huaibika na kurudia mahali pao katika jamii.Methali yenye maana sawa na h... | Kauleni alipopata pesa aliingiwa na nini | Kiburi | x |
3650_swa_9 | 3650_swa | MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI. Maana ya nje ya methali hii ni tezi Sehemu ya mbele ya jahazi, omo ni sehemu ya katikati wanapoketi abiria. Methali hii hutumiwa kuwashauri watu wenye tabia ya kujiona wao ni tofauti na wenzao Mwishowe watu hao huaibika na kurudia mahali pao katika jamii.Methali yenye maana sawa na h... | Kwa nini Kauleni alipigwa kalamu | Alivaa miwani na kukosa kuwajibika | x |
3655_swa_0 | 3655_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA. Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lughu inayozungumzwa Afrika hasa, Africa mashariki. Nchi ya Tanzania na Kenya zimeidhinisha Kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa. Lugha ya Kiswahili inayozungumzua nchini humo zinatokana na lahaja ya Ugunja. Lugha ya kiswa... | Ni ipi llugha ya taifa nchini Kenya na Tanzania | Kiswahili | x |
3655_swa_1 | 3655_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA. Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lughu inayozungumzwa Afrika hasa, Africa mashariki. Nchi ya Tanzania na Kenya zimeidhinisha Kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa. Lugha ya Kiswahili inayozungumzua nchini humo zinatokana na lahaja ya Ugunja. Lugha ya kiswa... | Kiswahili kinatumiwa kama lugha mojawapo wapi | Umoja wa mataifa | x |
3655_swa_2 | 3655_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA. Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lughu inayozungumzwa Afrika hasa, Africa mashariki. Nchi ya Tanzania na Kenya zimeidhinisha Kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa. Lugha ya Kiswahili inayozungumzua nchini humo zinatokana na lahaja ya Ugunja. Lugha ya kiswa... | Kiswahili kinafaa kitumiwe kama lugha rasmi wapi | Utangazaji | x |
3655_swa_3 | 3655_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA. Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lughu inayozungumzwa Afrika hasa, Africa mashariki. Nchi ya Tanzania na Kenya zimeidhinisha Kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa. Lugha ya Kiswahili inayozungumzua nchini humo zinatokana na lahaja ya Ugunja. Lugha ya kiswa... | Masomo shuleni yanafaa yaandikwe kwa lugha ipi | Kiswahili | x |
3655_swa_4 | 3655_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA. Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lughu inayozungumzwa Afrika hasa, Africa mashariki. Nchi ya Tanzania na Kenya zimeidhinisha Kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa. Lugha ya Kiswahili inayozungumzua nchini humo zinatokana na lahaja ya Ugunja. Lugha ya kiswa... | Ni vipi lugha ya Kiswahili itafaidi ikifunzwa kama lugha ya kigeni | Kwa kazi ya ualimu | x |
3655_swa_5 | 3655_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA. Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lughu inayozungumzwa Afrika hasa, Africa mashariki. Nchi ya Tanzania na Kenya zimeidhinisha Kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa. Lugha ya Kiswahili inayozungumzua nchini humo zinatokana na lahaja ya Ugunja. Lugha ya kiswa... | Tanzania na Kenya wameidhinisha Kiswahili kama lugha ya nini | Taifa | x |
3655_swa_6 | 3655_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA. Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lughu inayozungumzwa Afrika hasa, Africa mashariki. Nchi ya Tanzania na Kenya zimeidhinisha Kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa. Lugha ya Kiswahili inayozungumzua nchini humo zinatokana na lahaja ya Ugunja. Lugha ya kiswa... | Kiswahili Kinatumika kama lugha mojawapo ya Umoja wa nini | Mataifa | x |
3655_swa_7 | 3655_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA. Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lughu inayozungumzwa Afrika hasa, Africa mashariki. Nchi ya Tanzania na Kenya zimeidhinisha Kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa. Lugha ya Kiswahili inayozungumzua nchini humo zinatokana na lahaja ya Ugunja. Lugha ya kiswa... | Kiswahili kitumike kama lugha rasmi katika utangazaji wa nini | Habari | x |
3655_swa_8 | 3655_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA. Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lughu inayozungumzwa Afrika hasa, Africa mashariki. Nchi ya Tanzania na Kenya zimeidhinisha Kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa. Lugha ya Kiswahili inayozungumzua nchini humo zinatokana na lahaja ya Ugunja. Lugha ya kiswa... | Vyuo vikuu vya ulimwenguni vifunze lugha ipi miongoni mwa zingine | Kiswahili | x |
3655_swa_9 | 3655_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA. Lugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lughu inayozungumzwa Afrika hasa, Africa mashariki. Nchi ya Tanzania na Kenya zimeidhinisha Kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa. Lugha ya Kiswahili inayozungumzua nchini humo zinatokana na lahaja ya Ugunja. Lugha ya kiswa... | Juhudi za kuimarisha Kiswahili ni ya nani | Wananchi wa Kenya na Tanzania | x |
3656_swa_0 | 3656_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI. Siasa za migawanyiko hutokea pale mwanasiasa mmoja katika taifa huungwa mkono na wafuasi wengine na kukataliwa na wengine. Siasa hizi mara nyingi hutokea wakati wote wanapoelekea katika uchaguzi mkuu. Mara nyingi huwa na madhara mengi katika jamii na nchi yote kwa ujumla ka... | Siasa za mgawanyiko husababisha kuenea kwa nini | Chuki | x |
3656_swa_1 | 3656_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI. Siasa za migawanyiko hutokea pale mwanasiasa mmoja katika taifa huungwa mkono na wafuasi wengine na kukataliwa na wengine. Siasa hizi mara nyingi hutokea wakati wote wanapoelekea katika uchaguzi mkuu. Mara nyingi huwa na madhara mengi katika jamii na nchi yote kwa ujumla ka... | Visa huleta nini kwa bianadamu wasio hatia | Vifo | x |
3656_swa_2 | 3656_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI. Siasa za migawanyiko hutokea pale mwanasiasa mmoja katika taifa huungwa mkono na wafuasi wengine na kukataliwa na wengine. Siasa hizi mara nyingi hutokea wakati wote wanapoelekea katika uchaguzi mkuu. Mara nyingi huwa na madhara mengi katika jamii na nchi yote kwa ujumla ka... | Ukosefu wa miundo misingi ipi husababisha vifo | Hospitali | x |
3656_swa_3 | 3656_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI. Siasa za migawanyiko hutokea pale mwanasiasa mmoja katika taifa huungwa mkono na wafuasi wengine na kukataliwa na wengine. Siasa hizi mara nyingi hutokea wakati wote wanapoelekea katika uchaguzi mkuu. Mara nyingi huwa na madhara mengi katika jamii na nchi yote kwa ujumla ka... | Wanasiasa wanawahandaa nani | Vijana | x |
3656_swa_4 | 3656_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI. Siasa za migawanyiko hutokea pale mwanasiasa mmoja katika taifa huungwa mkono na wafuasi wengine na kukataliwa na wengine. Siasa hizi mara nyingi hutokea wakati wote wanapoelekea katika uchaguzi mkuu. Mara nyingi huwa na madhara mengi katika jamii na nchi yote kwa ujumla ka... | Ni vipi vita huleta uharibifu | Kwa kuchoma majumba na magari | x |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.